Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akipima joto la mwili
kabla ya kuingia katika ukumbi wa Baraza la Mawaziri kuongoza kikao cha Baraza
hilo. Kikao hicho kimehudhuriwa na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan,
Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri wote, Manaibu Mawaziri pamoja na
Viongozi wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Chamwino Dodoma. Machi 24, 2020.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiongoza
kikao cha Baraza cha Baraza la Mawaziri kilichofanyika katika Ukumbi wa Baraza
la Mawaziri Ikulu Chamwino. Kikao hicho kimehudhuriwa na Makamu wa Rais Mhe.
Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim Majaliwa, Mawaziri wote, Manaibu
Mawaziri pamoja na Viongozi wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama. Chamwino
Dodoma. Machi 24, 2020.
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya
Pamoja na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan, Waziri Mkuu Mhe. Kassim
Majaliwa,Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. John Kijazi, Mawaziri wote, Manaibu
Mawaziri pamoja na Viongozi wakuu wa vyombo vya Ulinzi na Usalama mara baada ya
kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino - Dodoma. Machi 24, 2020.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa Pamoja
na Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu akitoka nje ya ukumbi wa Baraza la Mawaziri
mara baada ya kikao cha Baraza la Mawaziri Ikulu Chamwino - Dodoma. Machi 24,
2020
Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa Naibu Waziri wa
Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Kazi, ajira Vijana na Walemavu Mhe. Stella Ikupa na viongozi wengine mara baada ya kikao cha
Baraza la Mawaziri kilichofanyika Ikulu
Chamwino - Dodoma. Machi 24, 2020. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇