LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 3, 2020

MBUNGE WA JIMBO LA OLE ATIMKIA CCM NA ZAIDI YA WANACHAMA 564 KUMFUATA


Mbunge wa Jimbo la Ole, Chakechake Mkoa wa Kusini Pemba kwa tiketi ya CUF Juma Hamad Omari (Pichani), amejivua nafasi zote ndani ya chama cha CUF na kuomba kujiunga na CCM


Kwa mujibu wa Taarifa iliyotolewa na Chama cha Mapinduzi-CCM, Mbunge huyo akiambatana na Wanachama wa CUF na ACT 564 amepokelewa na   Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) anayesimamia Idara ya Itikadi na Uenezi Humphrey Polepole.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages