LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 21, 2020

MWANAHABARI MWAIKENDA USO KWA USO NA KATIBU MKUU KIONGOZI MSTAAFU LUHANJO KIJIJINI LAMWATI

Mwandishi wa habari mkongwe, Richard Mwaikenda (kulia0 nikiwa na Katibu Mkuu Kiongozi wa Awamu ya Nne, Philemon Luhanjo nilipopita kumsalimia nyumbani kwake Lamwati, Kijiji cha Madeke, Kata ya Lupembe, Njombe Vijijini juzi.

Nilipita eneo hilo nikiwa katika harakati za kutafuta fursa za kilimo cha zao la Parachichi linalostawi vilivyo mkoani Njombe. Luhanjo ni miongoni mwa wakulima wazuri wa zao hilo.


No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages