LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Feb 22, 2020

MKUTANO WA CHAMA CHA WANAFUNZI KOZI YA MAABARA ZA AFYA WARINDIMA


Msajili wa Bodi ya Maabara Binafsi za Afya akizungumza katika Mkutano wa Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kozi ya Maabara za Afya Nchini (TAMELASA) Uliofanyika leo Februari 22, 2020. Dar es Salaam. Kwa lengo la kuwakutanisha wanafunzi wa Taaluma ya Maabara kuwa kitu kimoja na kuzungumzia changamoto na  kuangalia wapi wanapo elekea.
Rais wa Chama cha Wataalamu wa Sayansi ya MaabaraTanzania (MeLSAT). Yahaya Mnung'a akizungumza katika Mkutano wa Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kozi ya Maabara za Afya Nchini (TAMELASA) Uliofanyika leo Februari 22, 2020. Dar es Salaam.




Mmoja kati ya wanafunzi hao akizungumza katika Mkutano wa Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kozi ya Maabara za Afya Nchini (TAMELASA) Uliofanyika leo Februari 22, 2020. Dar es Salaam.
 Mkurugenzi wa Lifeline Pharmacy LTD, David Mujemula akizungumza katika Mkutano wa Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kozi ya Maabara za Afya Nchini (TAMELASA) Uliofanyika leo Februari 22, 2020. Dar es Salaam.

  Afisa Masoko wa Anudha LTD. Nyanda Sweya akizungumza jambo katika Mkutano wa Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kozi ya Maabara za Afya Nchini (TAMELASA) Uliofanyika leo Februari 22, 2020. Dar es Salaam. 

Mwakilishi wa CDC Lilian Shija akizungumza katika Mkutano wa Chama cha Wanafunzi wanaosoma Kozi ya Maabara za Afya Nchini (TAMELASA) Uliofanyika leo Februari 22, 2020. Dar es Salaam. Huku akisisitiza wa Dada kuweka bidii katika masomo na wawe na ndoto ya kujiendeleza 

2 comments:

  1. A'm proud of being among
    laboratory scientist

    ReplyDelete
  2. It was very encouraging event at all🙏🙏🙏

    ReplyDelete

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages