Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Dar Es Salaam na Pwani ambae pia ni Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiongoza kikao cha Kamati ya Siasa Mkoa wa Dar Es Salaam na Pwani kilichojadili namna ya Kuadhimisha miaka 43 ya kuzaliwa Chama cha Mapinduzi CCM pamoja na utatuzi wa baadhi ya Changamoto zinazojitokeza Katika Utekelezaji wa majukumu ya Chama pamoja na Ilani ya Uchaguzi ya CCM ya Mwaka 2015,2020.
Mjumbe was Kamati Kuu ya CCM, Makamu was Rais Samoa Suluhu Hassan akiwa katika oicha ya Pamoja na Wajumbe wa Kamati ya Siasa ya CCM mkoa was Dar es Salaam, baada ya kikao hich |
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇