LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 5, 2019

TBS YAWAPIGA MSASA KUHUSU ELIMU YA VIWANGO WASINDIKAJI BIDHAA 78 KASULU

 
Meneja wa Utafiti na Mafunzo, Hamisi Sudi wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wakitoa elimu ya viwango kwa wazalishaji na wasindikaji wa bidhaa katika ukumbi wa utamaduni wilayani Kasulu -Kigoma mapema leo. Jumla ya wazalishaji 78 wamefaidika na mafunzo hayo.

Kaimu MKurugenzi wa udhibiti ubora , Gervas Kaisi  wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS) wakitoa elimu ya viwango kwa wazalishaji na wasindikaji wa bidhaa katika ukumbi wa utamaduni wilayani Kasulu -Kigoma mapema leo. Jumla ya wazalishaji 78 wamefaidika na mafunzo hayo.
 Sehemu ya washiriki wakiwa katika mafunzo hayo.



No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages