LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Nov 22, 2019

RAIS MAGUFULI AWEKA JIWE LA MSINGI STENDI KUU YA MABASI YA MKOANI DODOMA


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi wengine akivuta utepe kuashiria uwekaji wa Jiwe la Msingi ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na viongozi wengine wa mkoa wa Dodoma akitoka kukagua maendeleo ya ujenzi wa Kituo hicho Kikuu cha Mabasi mkoani Dodoma ambapo ujenzi wake upo mbioni kukamilika. 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akifurahia jambo na Waziri Mkuu Mstaafu Mizengo Pinda kabla ya kuweka jiwe la msingi ujenzi wa Stendi Kuu ya Mabasi mkoani Dodoma.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwasalimia wananchi wa Dodoma kabla ya kuwahutubia katika eneo la wa Stendi Kuu ya Mabasi mkoani Dodoma. 
Sehemu ya Stendi Kuu ya Dodoma kama inavyoonekana pichani. 

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages