Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo
ya Makazi William Lukuvi akizungumza na Watendaji wa Wizara yake katika kikao cha kujadili uboreshaji sekta ya ardhi nchini,
kikao hicho kilifanyika ofisi za Wizara zilizoko Mtumba jijini Dodoma jana.
Kulia kwa Waziri ni Naibu wake Dkt Angeline Mabula.
Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo
ya Makazi William Lukuvi akizungumza na Watendaji wa Wizara yake katika kikao cha kujadili uboreshaji sekta ya ardhi nchini,
kikao hicho kilifanyika ofisi za Wizara zilizoko Mtumba jijini Dodoma jana.
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Nyumba
na Maendeleo ya Makazi Dorothy Mwanyika (Kulia) na Watendaji wengine wa Wizara
ya Ardhi wakimsikiliza Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William
Lukuvi (Hayupo pichani) wakati wa kikao
cha kujadili uboreshaji sekta ya ardhi nchini, kikao hicho kilifanyika ofisi za
Wizara zilizopo Mtumba jijini Dodoma
jana.
(PICHA ZOTE NA WIZARA YA ARDHI)
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇