LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 9, 2019

WAZIRI WA AFYA AZINDUA BOTI YA DHARURA NA KAMPENI YA KUZUIA VIFO VITOKANAVYO NA UZAZI ZANZIBAR


 
Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akikata utepe kuashiria Uzinduzi wa Boti mpya ya kisasa ya dharura (AMBULANCE BOT)kwa ajili ya kuwasaidia wakina mama wanaopata matatizo ya kujifungua katika Visiwa vya Pemba hafla iliofanyika hoteli ya Verde Maruhubi Zanzibar.
Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akitiliana saini na Mwakilishi mkaazi wa UNFPA Tanzania Jacklin Mahon kuhusu makabidhiano ya Boti ya kisasa ya dharura (AMBULANCE BOT)kwa ajili ya kuwasaidia wakina mama wanaopata matatizo ya kujifungua katika Visiwa vya Pemba hafla iliofanyika hoteli ya Verde Maruhubi Zanzibar.
Mwakilishi Mkaazi wa UNFPA Tanzania Jackline Mahon akizungumza machache katika hafla ya Uzinduzi wa Kampeni ya kuzuia vifo vitokanavyo na Uzazi katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar.
Katibu Mkuu Wizara ya Afya Asha Ali Abdalla akizungumza katika hafla ya Uzinduzi wa Kampeni ya kuzuia vifo vitokanavyo na Uzazi katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar.
Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Shamata Shaame Khamis akitoa hotuba katika Uzinduzi wa Kampeni ya kuzuia vifo vitokanavyo na Uzazi katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanzibar.
Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed akitoa hotuba ya Uzinduzi wa Kampeni ya kuzuia vifo vitokanavyo na Uzazi katika ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul wakil kikwajuni Zanziba.kulia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa Serikali za Mitaa na Idara maalum za SMZ Shamata Shaame Khamis na kushoto ni Mwakilishi mkaazi wa UNFPA Tanzania Jacklin Mahon.
Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed wakikabidhiana hati ya saini na Mwakilishi mkaazi wa UNFPA Tanzania Jacklin Mahon katika hafla ya makabidhiano ya Boti ya kisasa ya dharura (AMBULANCE BOT)kwa ajili ya kuwasaidia wakina mama wanaopata matatizo ya kujifungua katika Visiwa vya Pemba hafla iliofanyika hoteli ya Verde Maruhubi Zanzibar.
Boti mpya ya kisasa ya dharura (AMBULANCE BOT) iliozinduliwa na Waziri wa Afya Hamad Rashid Mohamed kwa ajili ya kuwasaidia wakina mama wanaopata matatizo ya kujifungua katika Visiwa vya Pemba hafla iliofanyika hoteli ya Verde Maruhubi Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages