Walinzi wa amani 16 wameuawa katika shambulizi lililofanywa na wanamgambo wa Taliban katika mji wa Ali Abad huko Kunduz nchini Afghanistan.
Mkuu wa usalama wa Kunduz Abdul Rashid Bashir alihabarisha kwamba idadi kubwa ya wanamgambo wa Taliban walivamia kituo kikubwa cha Ali Abad na kufanya shambulizi.
Katika shambulizi hilo walinzi wa amani 16 walipoteza maisha, wanamgambo wengi wa Taliban pia waliuawa katika tukio hilo.
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇