LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 7, 2019

TMDA ITAHAKIKISHA DAWA NA VIFAA TIBA VINAVYOPITA MPAKANI NI SALAMA NA VYENYE UBORA-WAZIRI UMMY



Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Mh.Ummy Mwalimu ameeleza jana mbele ya Rais Dkt John Pombe Magufuli na Wananchi kwa ujumla kuwa Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) itahakikisha Dawa na Vifaa Tiba vinavyopitia mpaka wa Tunduma,Tanzania na Nakonde,Zambia ni salama,fanisi na vyenye ubora unaotakiwa.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages