Mtoto Edda Salehe wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Bariadi mkoani Simiyu, akionesha alama ya ubora ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS), katika moja ya bidhaa zilizothibitishwa ubora wake na TBS, katika Maonesho ya Baraza la Uwezeshaji la Taifa yaliyoanza Oktoba 14 na kufikia kilele leo mkoani humo. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa shirika hilo, Roida Andusamile.
Your Ad Spot
Oct 20, 2019
Home
Unlabelled
TBS YAZIDI KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU ALAMA YA UBORA WA BIDHAA KATIKA MAONESHO YA BARAZA LA UWEZESHAJI LA TAIFA, MKOANI SIMIYU
TBS YAZIDI KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU ALAMA YA UBORA WA BIDHAA KATIKA MAONESHO YA BARAZA LA UWEZESHAJI LA TAIFA, MKOANI SIMIYU
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇