LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 20, 2019

TBS YAZIDI KUTOA ELIMU KWA WANANCHI KUHUSU ALAMA YA UBORA WA BIDHAA KATIKA MAONESHO YA BARAZA LA UWEZESHAJI LA TAIFA, MKOANI SIMIYU

 Mtoto Edda Salehe wa darasa la kwanza katika Shule ya Msingi Bariadi mkoani Simiyu,  akionesha alama ya ubora ya Shirika la Viwango Tanzania (TBS),  katika moja ya bidhaa zilizothibitishwa ubora wake na  TBS, katika Maonesho ya Baraza la Uwezeshaji la Taifa yaliyoanza Oktoba 14 na kufikia kilele leo mkoani humo. Kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Uhusiano wa shirika hilo, Roida Andusamile.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages