LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 31, 2019

MSTAAFU SHULE YA SKULI YA KINYWA NA MENO MGENI RASMI KATIKA HAFLA YA KUWAVISHA MAKOTI MEUPE WANACHUO WAPYA WA UDAKTARI WA KINYWA NA MENO

 Mstaafu Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Elison Simon akizungumza na wanachuo wapya wa Udaktari wa Kinywa na Meno (pichani hawapo) kabla ya kuwavisha makoti meupe, Hafla hiyo ilifanyika katika Jengo la Meno lililopo  Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA) 
  Mstaafu Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Elison Simon (kulia) akizungumza na wanachuo wapya wa Udaktari wa Kinywa na Meno kabla ya kuwavisha makoti meupe, Hafla hiyo ilifanyika katika Jengo la Meno lililopo  Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam.
 Mstaafu Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Elison Simon akizungumza na wanachuo wapya wa Udaktari wa Kinywa na Meno (pichani hawapo) kabla ya kuwavisha makoti meupe, Hafla hiyo ilifanyika katika Jengo la Meno lililopo  Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam. Kulia na Mkuu wa Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Matilda mlangwa
 Mkuu wa Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Matilda mlangwa (kulia) akizungumza na wanachuo wapya wa Udaktari wa Kinywa na Meno (pichani hawapo) kabla ya kuwavisha makoti meupe, Hafla hiyo ilifanyika katika Jengo la Meno lililopo Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam.. Kushoto ni Mstaafu Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Elison Simon
 Madktari wapya wa Kinywa na Meno wakila kiapo.

 Mkuu wa Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Matilda mlangwa (kulia) akiwaapisha Madaktri wapya wa Kinywa na Meno 

 Mstaafu Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Elison Simon (kushoto) akimvisha koti jeupe mwanachuo mpya wa Udaktari, Natasha Chillumba Hafla hiyo ilifanyika katika Jengo la Meno lililopo Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam
  Mkuu wa Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Matilda mlangwa (kushoto) akimvisha koti jeupe mwanachuo mpya wa Udaktari, Lightnss Mbilla, Hafla hiyo ilifanyika katika Jengo la Meno lililopo Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam



 Mkuu wa Chuo cha Wanganga Wasaidizi wa Meno Muhimbili (ADO) Dkt. Sarah Isodore akimvisha koti jeupe mwanachuo mpya wa Udaktari Fakihi Mshangama wakati wa Hafla ilifanyika katika Jengo la Meno lililopo Hospitali ya Taifa Muhimbili Dar es Salaam





 Baadhi wa nawachuo wapya wa Udaktari wa Kinywa na Meno wakiwa wamevaa makoti mara maada ya kuvishwa.

 Mkuu wa Shule ya Skuli ya Kinywa na Meno, Dkt. Matilda mlangwa katikati (mwenye skafu) akiwa katika picha ya pamoja na  Madktari wapya wa Kinywa na Meno





No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages