LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 3, 2019

MKUTANO WA MSEMAJI MKUU WA SERIKALI NA WAANDISHI WA HABARI LEO JIJINI DAR


Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akisisitiza jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu utekelezaji wa kazi mbalimbali za Serikali, katika mkutano wake na Waandishi wa Habari ulifanyika leo Oktoba 3, 2019 Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akizungumza na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa kazi mbalimbali za Serikali, Mkutano huo ulifanyika leo Oktoba 3, 2019 Jijini Dar es Salaam.

Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akifafanua jambo kwa Waandishi wa Habari (hawapo pichani), kuhusu utekelezaji wa kazi mbalimbali za Serikali, Mkutano huo ulifanyika leo Oktoba 3, 2019 Jijini Dar es Salaam.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO na Msemaji Mkuu wa Serikali, Dkt. Hassan Abbasi, akikaribisha swali kutoka kwa Mwandishi wa Habari (hayupo pichani), wakati wa Mkutano wake na Waandishi wa Habari kuhusu utekelezaji wa kazi mbalimbali za Serikali, ulifanyika leo Oktoba 3, 2019 Jijini Dar es Salaam.

(Picha na Idara ya Habari-MAELEZO)

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages