hiyo
Mkurugezi Mtendaji Dkt. Respiucious Bonface
akizungumza mara baada ya wataalam wa Tiba mbalimbali wa Timu ya Hospitali ya Tasaktaa kutoka Zanzibar kuwasili kwa maandalizi ya Mchezo huo utakaofanyika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam Oktoba 25, 2019. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
Wachezaji wa Timu ya Hospitali ya Tasaktaa kutoka Zanzibar wakiingia katika ukumbi wa Mikutano MOI
Wachezaji wa Timu ya Hospitali ya Tasaktaa kutoka Zanzibar wakiwa wanaingia katika ukumbi wa Mikutano MOI.
Wachezaji wa Timu ya Hospitali ya Tasaktaa kutoka Zanzibar wakiwa katika Chumba cha Mkutano MOI
Mkurugezi Mtendaji Dkt. Respiucious Bonface akizungumza jambo na wachezaji wa Timu ya Hospitali ya Tasaktaa kutoka Zanzibar akiwa na baadhi ya viongozi wa Timu zote mbili
Mkurugezi Mtendaji Dkt. Respiucious Bonface katika picha ya pamoja na wachezaji wa Timu ya Hospitali ya Tasaktaa kutoka Zanzibar.
Nahodha wa Timu ya MOI Patrick Mvungi akizungumza jambo leo mara baada ya Wataalam wa Tiba mbalimbali wa Timu ya Hospitali ya Tasaktaa kutoka Zanzibar kuwasili kwa maandalizi ya Mchezo huo utakaofanyika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam Oktoba 25, 2019.
Wataalam wa Tiba mbalimbali wa Timu ya Hospitali ya Tasaktaa kutoka Zanzibar watembezwa sehem mbalimbali ikiwemo chumba cha Upasuaji na kujione utendaji wa kazi mahiri unaofanywa na Madaktari wa MOI
Mkurugezi Mtendaji Dkt. Respiucious Bonface katika picha ya pamoja na wachezaji wa Timu ya Hospitali ya Tasaktaa kutoka Zanzibar.

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇