LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 25, 2019

MAHAKAMA YA TANZANIA YAPIGILIA MSUMARI SHERIA YA NDOA YA UTOTONI

Kwa mujibu wa tamko la awali la serikali, sheria iliyoweka umri wa miaka 18 inakiuka katiba kama ambavyo pia inakiuka usawa kati ya mtoto wa kiume na wa kike.
Harakati za kupinga ndoa za utotoni 
Aidha ilisema kuwa, kumruhusu mtoto wa kike aolewe hata chini ya umri huo, ilikuwa ni kumsadia mtoto huyo, hasa kwa kuzingatia kuwa mtoto huyo anawahi kubalegh mapema, na kwamba kuendelea kumzuia, ni kumnyima haki yake ya kimsingi.
Kwa maelezo zaidi tujiunge na mwandishi wetu wa jijini Dar es Salaam, Ammar Dachi…………/

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages