LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 30, 2019

KATIBU NA MWENEZI CHADEMA LONGIDO WATIMKIA CCM.



Katibu wa CCM wilaya ya Londigo Ezekiel Mollel akionyesha kadi alizozipokea jana kutoka kwa wanachama wa Chadema
 Katibu wa Chama cha mapinduzi (CCM) wilaya ya Longido Ezekiel Mollel jana amewapokea wanachama wa Chama cha Demokrasia na maendeleo (CHADEMA),akiwepo katibu wa Chama hicho wilaya Mch Isaya Nguchika na mwenezi wake Emmanuel Rekali(Habari picha na Pamela Mollel)

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages