LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Oct 24, 2019

KAMATI YA BUNGE YA PAC YARIDHISHWA NA HESABU ZASEKTA YA UJENZI

 Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (Sektaya   Ujenzi),   Arch.   Elius   Mwakalinga (kushoto),   akijibu hoja za hesabu za Sekta yake mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu zaSerikali  (PAC), jijini Dodoma. kulia ni Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Nangenjwa Kaboyoka
 Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), Mhe. Nangenjwa Kaboyoka (kushoto katikati), akitoa maelekezo kwa Katibu Mkuu wa   Wizara ya  Ujenzi,  Uchukuzi  na   Mawasiliano  (Sekta   yaUjenzi), Arch. Elius Mwakalinga, (hayupo pichani) mara baada ya Sekta yake kuwasilisha taarifa ya hesabu zake mbele ya Kamatihiyo, jijini Dodoma.
 Mbunge wa Viti maalum Mkoa wa Singida, Mheshimiwa Asha-RoseMatembe,   akitoa   maoni   yake   kwa   Katibu   Mkuu wa Wizara yaUjenzi, Uchukuzi   na   Mawasiliano   (Sekta   ya   Ujenzi),   Arch.   EliusMwakalinga (hayupo pichani), mara baada ya Katibu Mkuu huyokuwasilisha taarifa ya hesabu za Sekta yake kwa Kamati hiyo.
Wajumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), wakimsikiliza Katibu Mkuu wa Wizara ya Ujenzi, Uchukuzina Mawasiliano (Sekta ya Ujenzi), Arch. Elius Mwakalinga, (hayupopichani),   wakati   akiwasilisha   taarifa   ya hesabu   za Sekta   yakembele ya kamati hiyo.PICHA NA WWU

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages