Bi Harusi mtarajiwa Osmunda Ndunguru akiwa katika pozi baada ya kupambwa kwa ajili ya Sherehe yake fupi ya kuagwa inayotarajiwa kuanza muda mfupi ujao katika Ukumbi wa Jeshi wa Uwake Hall uliopo Gongolamboto Dar es Salaam ambapo Sherehe fupi inatarajiwa kufanyika Octoba 21, 2019 katika Kanisa la Roma Katoliki la Songea Mbinga Mkoa wa Ruvuma Kijiji cha Mkumbi ambabapo anatarajiwa kufunga Pingu za maisha na Edson Komba. (PICHA NA KHAMISI MUSSA)
Bi Harusi mtarajiwa Osmunda
Bi Harusi mtarajiwa Osmunda akipambwa katika Saloon iliyopo Mombasa Jijini Dar es Salaam
Bi Harusi mtarajiwa Osmunda akiwa katika pozi
Bi Harusi mtarajiwa Osmunda akiwa katika pozi kabla ya hafla yake ya kuagwa (Send Off) katika ukumbi wa Jeshi wa Uwake Hall uliopo Gongolamboto Dar es Salaam
Bi harusi Mtarajiwa Osmunda akiwa katika Picha ya pamoja na wapambe wake katika maandalizi ya hafla ya kuagwa kwake ukumbi wa Jeshi wa Uwake Hall uliopo Gongolamboto Dar es Salaam
Your Ad Spot
Sep 19, 2019
USIKU WA OSMUNDA NDUNGURU
Tags
featured#
habari picha#
Share This
About khamisimussa77@gmail.com
habari picha
Tags
featured,
habari picha
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇