LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 22, 2019

MKUU WA MKOA WA MBEYA ALBERT CHALAMILA MGENI KESHO SEMINA YA TUGHE

 Katibu wa TUGHE Mkoa wa Dar es Salaam Tabu Mambo akisalimia katika Kikao cha maandalizi ya Semina ya Kamati tendaji inayo tarajiwa kufanyika kesho katika Ukumbi wa Mkapa uliopo Sokomatola Kata ya Maendeleo Mkoa wa Mbeya. alisema Mambo;

Semina hiyo iliyoandaliw na TUGHE Mkoa wa Dar es Salaam itadumu kwa siku tano kuanzia Septemba 23 hadi 27, 2019. Kamamati ya uratibu wa semina imekutana kwa malengo ya kupanga mkakati wa kufanikisha Semina ya kuwezesha viongozi wa matawi, waajiri na wadau wengine ili kudumisha ufanisi wa kazi na kutoa ahuduma bora na salama


Semina hii inaratibiwa na Katibu wa TUGHE Ilala na itaongozwa na Mwenyekiti wa semina Ndugu Ibrahim Nuru Mmbaga. 


Semina ni muendelezo wa semina tuliyoifanya Mkoa wa Mtwara na tuka azimia Semina hizi ziwe endelevu na kwa umuhimu wa pekee tunawashukuru waajiri wote ambao ndio wawezeshaji wa semina hii alisema Bi Tabu Mambo.

Bi tabu Mambo kwa niba ya TUGHE ana washukuru kipekee viongozi wa matawi na waajiri kwa jinsi wanavyotoa michngo yao ya hali na mali bila kuchoka. Anaamuomba Mungu awajaalie wote afyaaa njema na mafanikio katika shughuli zao. 





 Mwenyekiti wa Semina Ndugu Ibrahim Nuru Mmbaga akislimia washiriki. (PICHA ZOTE NA KHAMISI MUSSA)
 Mdhamini  wa TUGHE Dkt. Yonah Mabela (kulia)  akikagua shughli za maandalizi ya semina 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages