LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Sep 20, 2019

AUBAMEYANG AENDELEZA MOTO WA MABAO ARSENAL IKIWACHAPA WENYEJI, EINTRACHT FRANKFURT 3-0


Pierre-Emerick Aubameyang (kushoto) akishangilia na Bukayo Saka baada ya wote kufunga katika ushindi wa 3-0 wa Arsenal dhidi ya wenyeji, Eintracht Frankfurt kwenye mchezo wa Kundi F UEFA Europa League usiku wa jana Uwanja wa Commerzbank-Arena mjini Frankfurt. Saka alifunga bao la pili dakika ya 85 na Aubameyang la tatu dakika ya 87 baada ya Joe Willock kufunga la kwanza dakika ya 38

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages