LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 14, 2019

YAZINDUA DARUBINI ITAKAYOTUMIKA KUPIMA NISHTI YA JOTO ANGANI

Nchi ya Urusi imezindua darubini ya Spektr-RG itakayotumika kwa kupima nishati ya joto angani. Darubini hiyo inatarajiwa pia kutambua idadi mpya ya vyanzo vya nishati, kama vile mashimo makubwa meusi yaliyopo katikati mwa nyota nyingi.

Darubini hiyo itasafiri katika eneo linalochunguzwa zaidi yapata kilomita milioni 1.5 kutoka duniani linalofahamika kama -Lagrange Point 2.

Spektr-RG kimetengenezwa kwa muundo wa darubini mbili kwa pamoja kwa ushirikiano na Ujerumani.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages