LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 26, 2019

RAIS MAGUFULI ATOA MAAGIZO HAYA USIKU HUU

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli ameiagiza Wizara ya Fedha na Mipango kuchunguza matumizi ya shilingi Bilioni 15.3 zilizotolewa na serikali kwa ajili ya kughamia matumizi ya Mamlaka ya usafiri wa Reli Tanzania na Zambia (TAZARA).

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages