LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 3, 2019

RAIS ANATARAJIA KUFANYA ZIARA BINAFSI YA SIKU MBILI

Rais wa Jamhuri ya Kenya Uhuru Muigai Kenyatta keshokutwa Ijumaa July 5, 2019 atafanya ziara binafsi ya siku 2 hapa nchini kwa mwaliko wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli.

Rais Kenyatta atatua katika uwanja wa ndege wa Chato Mkoani Geita saa 4:00 asubuhi na kisha kuelekea nyumbani kwa Rais Magufuli katika kijiji cha Mlimani Wilayani Chato.

Akiwa Chato, Rais Kenyatta atafanya mazungumzo na mwenyeji wake Rais Magufuli.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages