LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 24, 2019

NAPAL: WATU 98 WAFARIKI KWA MAFURIKO, MAPOROMOKO YA ARDHI

Idadi ya vifo kutokana na mafuriko na maporomoko ya ardhi yaliyosababishwa na mvua kubwa nchini Nepal tangu wiki mbili zilizopita imefikia 98 Jumanne, kulingana na mamlaka.
Idadi ya vifo ilifikia 98 baada ya watu wasiopungua nane kufa huku wengine wanne wakipotea kutokana na maporomoko ya ardhi katika wilaya ya Gulmi magharibi mwa Nepal asubuhi ya leo.

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages