Muwakilishi wa usalama barabarani wilaya ya Monduli kwa kushirikiana na askari wengine chini ya usimamizi wa RTO wa mkoa wa Arusha Charles Bukombe wamefanya oparesheni maalum katika mabasi yanayofanya safari zake kutoka jijini Arusha Kwenda Wilayani Monduli Waso ambayo yalikuwa yamejaza abiria zaidi ya idadi inayotakiwa.
Your Ad Spot
Jul 19, 2019
Home
Unlabelled
BASI LAKAMATWA ARUSHA, ABIRIA WASHUSWA
BASI LAKAMATWA ARUSHA, ABIRIA WASHUSWA
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇