LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 6, 2019

AWAKUMBUKA VIONGOZI WA SIMBA SC NA TFF

Nahodha wa timu ya taifa ya Tanzania, Mbwana Samatta amebainisha kuwa amejaribu kuwatembelea gerezani viongozi wa zamani wa klabu ya Simba ambao ni makamu wa Rais Godfrey nyange 'kaburu'  na Rais wa TFF, Jamali Malinzi lakini hakufanikiwa kuwaona.

Samatta ambaye alikuwa na Taifa Stars nchini Misri ilikokuwa ikishiriki AFCON 2019 na kutolewa hatua ya makundi amesema licha ya kutowaona lakini anawaombea.

Kikosi cha Taifa Stars kilirejea kutoka nchini Misri ambapo kilicheza mechi tatu za Kundi C dhidi ya Senegal, Kenya na Algeria lakini kikapoteza mechi zote.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages