Vyombo vya habari vya mitaa vya Cebu Daily News viliripoti kuwa waathrika walikuwa wakisafiri kuhudhuria tukio ambalo lilikuwa linafanyika katika mji wa Boljoon, karibu na mahali ambapo ajali hiyo ilitokea.
Afisa wa habari wa umma, Ruben Nieri, alithibitisha ajali hiyo, akisema kwamba takriban watu 20 walipelekwa hospitalini. Uchunguzi wa kubaini kilichosababisha ajali hiyo bado unaendelea.

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇