LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 26, 2019

JPM AMTEUA DKT. MUSSA JUMA KUWA KAMISHNA WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BIMA TANZANIA (TIRA).



Ikulu, Dar es Salaam.
RAIS Dkt. John Magufuli amemteua Dkt. Mussa Juma kuwa Kamishna wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Tanzania (TIRA).
Uteuzi wa Dkt. Mussa Juma unaanza leo tarehe 25 Juni, 2019.
Kabla ya uteuzi huo, Dkt. Mussa Juma alikuwa Mkuu wa Idara ya Bima katika Kitivo cha Bima na Hifadhi ya Jamii cha Chuo cha Usimamizi  wa Fedha (IFM).
Dkt. Mussa Juma anachukua nafasi ya Dkt. Baghayo Abdallah Saqware ambaye uteuzi wake umetenguliwa.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages