LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 13, 2019

SIMBA SC WACHAPWA KIPIGO CHA MABAO 4-1 NA TP MAZEMBE

Mchezo wa robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika uliowakutanisha TP Mazembe na Simba SC umemalizika kwa TP Mazembe kufanikiwa kusonga mbele katika hatua ya nusu fainali ya Mabingwa Afrika.


TP Mazembe wakiwa nyumbani kwao DC Congo wamuibuka na ushindi wa goli 4-1.Simba SC ndio walikuwa wa kwanza kupata goli kupitia kwa Emmanuel Okwi kunako dakika ya pili, TP Mazembe
walisawazisha goli hilo dk ya 22 kupia Kabaso Chongo. Magoli mengine ya TP Mazembe yamefungwa na Meschack Elia, Trésor Mputu na Jackson Muleka.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages