LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 28, 2019

SPIKA NDUGAI AWEKA JIWE LA MSINGI TAWI LA UBAGO WILAYA YA KATI MKOA WA KUSINI UNGUJA

 Spika wa Bunge, Mjumbe wa Kamati Kuu CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kaskaizni na Kusini Unguja Mhe. Job Ndugai akiweka jiwe la msingi Tawi la Ubago Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 28 Machi, 2019 Mjini Zanzibar.
Spika wa Bunge, Mjumbe wa Kamati Kuu CCM na Mlezi wa CCM Mkoa wa Kaskazini na Kusini Unguja Mhe. Job Ndugai (katikati) akimsikiliza Mkurugenzi wa Mamlaka ya Maji Zanzibar (ZAWA), Ndg. Ali Abdu Ali (kushoto) wakati wa utandazaji wa mabomba ya maji safi na salama, kutoka kisima cha Bambi kuelekea Kijiji cha Uroa Jimbo la Chwaka Mkoa wa Kusini Unguja leo tarehe 28 Machi, 2019 Mjini Zanzibar.

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages