Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Mikhail Bogdanov kabla ya kuanza mazungumzo Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Mikhail Bogdanov picha ya Mlima Kilimanjaro, kabla ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Mikhail Bogdanov ambaye aliambatana na ujumbe wake Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Mikhail Bogdanov ambaye aliambatana na ujumbe wake Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiangalia Kitabu chenye Mambo ya Urusi alichopewa zawadi na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Mikhail Bogdanov Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. John Magufuli akiagana na baada ya mazungumzo yao, Ikulu jijini Dar es Salaam, leo.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi Mikhail Bogdanov watano kutoka kushoto, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki Profesa Palamagamba Kabudi watano kutoka kulia, Balozi wa Tanzania nchini Urusi Meja Jenerali Simon Mumwi watatu kutoka kulia, Balozi Zuhura Bundala wapili kutoka kushoto pamoja na Maofisa wengine kutoka nchini Urusi Ikulu jijini Dar es Salaam (Picha na Ikulu)






No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇