Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndg.Shaibu Issa Ndemanga (meza kuu kushoto), Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Ndg.Rehema Madenge (meza kuu katikati) na Kaimu Msajili wa Hazina Ndg.Peter Gwagilo (meza kuu kulia) wakizungumza na timu ya wataalamu kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina na Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Mkoa wa Lindi (hawapo pichani) muda mfupi kabla ya Serikali kukitwaa Kiwanda cha Kuchakata Korosho Lindi (BUKO) mkoani.
Mkuu wa Wilaya ya Lindi Ndg.Shaibu Issa Ndemanga (meza kuu kushoto), Katibu Tawala wa Mkoa wa Lindi Ndg.Rehema Madenge (meza kuu katikati) na Kaimu Msajili wa Hazina Ndg.Peter Gwagilo (meza kuu kulia) wakizungumza na timu ya wataalamu kutoka Ofisi ya Msajili wa Hazina na Ofisi ya Rais na Sekretarieti ya Mkoa wa Lindi muda mfupi kabla ya Serikali kukitwaa Kiwanda cha Kuchakata Korosho Lindi (BUKO) mkoani Lindi.
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇