LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jun 23, 2018

ZIARA YA MZEE MANGULA NCHINI CUBA

Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akimzawadia kinyago Mjumbe wa Sekretarieti na Mkuu wa Idara ya Mambo ya Nje wa chama cha CPC cha Cuba Jose Balaguer Cabrera baada ya kufanya Mazungumzo Makao Makuu ya CPC mjini Havana nchini humo.
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akimpa barua Makamu wa kwanza wa Rais wa Cuba  Salvador Valde's Mesa ambaye alipokea barua hiyo kwa niaba ya Rais wa nchi hiyo ikitoka kwa Mwenyekiti wa CCM Rais Dk. John Masgufuli
Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akimzawadia kinyago Makamu wa kwanza wa Rais wa Cuba  Salvador Valde's Mesa.


☝Makamu Mwenyekiti wa CCM Bara Mzee Philip Mangula akiwa kwenye  Chuo cha Chama  cha CPC cha Cuba (Nico  Lopez ) ambapo alikutana na  Mkuu wa Chuo hicho ambaye pia ni mjumbe wa Kamati Kuu ya CPC Cde Rosario Penton Diaz (kushoto).

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages