Rais Emmerson Dambudzo Mnangwagwa wa Zimbabwe, akikagua gwaride la JWTZ baada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo
Rais Emmerson Dambudzo Mnangwagwa wa Zimbabwe akiwapungua mkono wananchi huku akiongozana na mwenyeji wake Rais Dk Magufuli naada ya kuwasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere jijini Dar es Salaam, leo
Rais Dk. Magufuki na ujumbe wake eakiwa kwenye mazungumxo na Rais Emmerson Dambudzo Mnangwagwa wa Zimbabwe Ikulu jijini Dar es Salaam
Rais Emmerson Dambudzo Mnangwagwa wa Zimbabwe na mwenyeji wake Rais Dk John Magufuli wakifurahia sarakasi iliyochezwa Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Jukius Nyerere
Rais Dk Magufuli akimkaribisha mgeni wake Rais Emmerson Dambudzo Mnangwagwa wa Zimbabwe kuzungumza na Waandishi wa habari
Rais Emmerson Dambudzo Mnangwagwa wa Zimbabwe akizungumza na waandishi wa habari
Rais Dk Magufuli akiagana na mgeni wake Rais Emmerson Dambudzo Mnangwagwa wa Zimbabwe baada ya kuzungumza na waandishi wa habari .
Your Ad Spot
Jun 28, 2018
Home
Unlabelled
RAIS MNANGAGWA WA ZIMBABWE AWASILI NCHINI, RAIS DK. MAGUFULI AMPOKEA KWA SHANGWE
RAIS MNANGAGWA WA ZIMBABWE AWASILI NCHINI, RAIS DK. MAGUFULI AMPOKEA KWA SHANGWE
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇