LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 31, 2018

KINANA AMKABIDHI RASMI OFISI KATIBU MKUU MPYA DK. BASHIRU, LEO

Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Abdulrahman Kinana akimkabidhi 'zana' Katibu Mkuu mpya wa CCM Dk. Bashiru Ally, katika makabidhiano ya ofisi yaliyofanyika leo Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam
Katibu Mkuu wa CCM Bashiru Ally akiwasalimia baadhi ya viongozi alipowasili, Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam kwa ajili ya makabidhiano hayo.
Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Abdulrahman Kinana akisalimiana kwa furaha na Katibu Mkuu CCM Dk. Bashiru Ally, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM Lumumba jijini Dar es Salaam, Dk. Bashiru alipofika kwa ajili ya makabidhiano hayo, leo
Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ally akiongozana na Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Abdulrahman Kinana, wakati wakienda ofisini kufanya makabidhiano hayo.
Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ally akiongozana na Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Abdulrahman Kinana kuingia ukumbini kuzungumza na watumishi wa Chama, katika Ofisi8 Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam.
 Katibu Mkuu wa CCM Dk Bashiru Ally akikiwa na Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM Abdulrahman Kinana baada ya kufika meza kuu kwa ajili ya kuzungumza na watumishi wa Chama, katika Ofisi8 Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam. Kushoto ni Naibu Katibu Mkuu wa CCM Bara Rodrick Mpogolo.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi, Humprey Polepole akitoa maneno ya utangulizi
 Baadhi ya watumishi wa CCM wakiwa ukumbini
 Baadhi ya watumishi wa Chama wakiwa ukumbini
  Baadhi ya watumishi wa Chama wakiwa ukumbini
  Baadhi ya watumishi wa Chama wakiwa ukumbini
 Makatibu Wakuu wa  Jumuia za Chama wa sasa na wastaafu wakiwa ukumbini
 Katibu Mkuu mstaafu wa CCM Abdulrahman Kinana akikumbatiana kwa furaha na Katibu Mkuu wa CCM Bashiru Ally baada ya kuzungumza hotuba ya kuaga wafanyakazi wa Chama.
 Katibu Mkuu wa CCM Bashiru Ally akizungumza na wafanyakazi wa Chama
 Kinana akipongeza hotuba ya Dk Bashiru kwa wafanyakazi
 Picha ya pamoja
 Picha ya pamoja na Makatibu wasaidizi
 picha ya pamoja na watum ishji wa Chama

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages