DAR ES SALAAM
Mkurugenzi Mkuu wa zamani wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), Tido Mhando amefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, akikabiliwa na kesi ya uhujumu uchumi.
Mhando anakabiliwa na mashtaka manne ya matumizi mabaya ya madaraka na moja la kuisababishia Serikali hasara ya Sh. milioni 887 akiwa TBC.
Tido alifikishwa mahakamani leo saa 5:22 asubuhi na aliingizwa katika ukumbi wa mahakama ya wazi kabla ya kusomewa mashitaka hayo matano.
Source: MWANANCHI
Jan 26, 2018
Home
Unlabelled
ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU TBC TIDO MHANDO AFIKISHWA KIZIMBANI
ALIYEKUWA MKURUGENZI MKUU TBC TIDO MHANDO AFIKISHWA KIZIMBANI
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇