UWT inawaombea kwa Mungu Afya njema na awawezeshe kufanya salama na vizuri mitihani hii. Pia inawaombea kwa Mungu aendelee kuwalinda kipindi chote watakacho kuwa ktk Mitihani. Mwisho UWT inawasihi wanafunzi na wazazi wote kumtanguliza Mungu na kutojihusisha na vitendo vyote vinavyoenda kinyume na taratibu za Mitihani.
Ahsante,
KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI
Katibu Mkuu UWT Amina makilagi

No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇