LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 14, 2017

RAIS DK, MAGUFULI AMEFUTA MASHAMBAPORI ZAIDI YA 15,000 MOROGORO

Miongoni mwa mashamba hayo yapo ya familia ya Waziri Mkuu wa zamani Mhe. Fedrick Sumaye ambayo yalikuwa yanamilikiwa na Mke wake Ester Sumaye lenye hekari 473 yaliyopo Mvomero Mkoani Morogoro.

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi ameyataja Mashamba 30 ambayo yamefutwa tangu 2003 hadi 2017, yakiwemo 14 katika awamu hii ya tano na 16 katika awamu ya nne.

Waziri Lukuvi amesisitiza kuwa ufutaji wa Mashamba pori ambayo hayajaendelezwa na wakati huohuo yamekuwa kero kwa wananchi walio wengi ambao wanahitaji yataendelea kubatishwa bila kujali jina, cheo, Kabila au dini ya mtu.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages