LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Aug 27, 2017

NAIBU KATIBU MKUU WA CCM BARA NDG: RODRICK MPOGORO AFUNGUA MAFUNZO ELEKEZI KWA MAKATIBU WA UVCCM MIKOA YA TANZANIA BARA NA VISIWANI.

Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rodrick Mpogoro akifungua Mafunzo elekezi kwa Makatibu wa Umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania Bara na Visiwani katika ukumbi wa Kamati Kuu Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es salaam.  Wapili kulia ni Kaimu katibu Mkuu wa UVCCM Shaka Hamdu Shaka
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rodrick Mpogoro akifungua Mafunzo elekezi kwa Makatibu wa Umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania Bara na Visiwani katika ukumbi wa Kamati Kuu Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana wa CCM  Sadifa Juma Khamisi akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo elekezi kwa makatibu wa umoja wa Vijana wa CCM mikoa ya Tanzania bara na Visiwani katika ukumbi wa kamati kuu ofisi ndogo ya CCM Lumumba Dar es salaam
 Kaimu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi Shaka Hamdu Shaka akizungumza katika Mafunzo hayo. PICHA ZAIDI/>BOFYA HAPA 

No comments:

Post a Comment

Tupia Comments👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages