LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jul 25, 2017

KENYA WATUMIA JINA LA RAIS DK. MAGUFULI KUSAKA KURA

Wakati kuna baadhi ya Watanzania wachache ambao wanabeza umahiri wa Rais Dk. John Magufuli katika kulitumikia Taifa kwa uwezo wake wote kuhakikisha inakuwa nchi ya mfano hasa kiuchumi na maadili, Katika nchi za nje Juhudi hizo wanaziona na kuzitamani zitokee katika nchi zao. Pichani mmoja wa wanasiasa akiwa amevaa shati lenye jina la Rais Magufuli kama moja ya njia ya kujinadi kwa wapigakura ili kuungwa mkono kwa kufananishwa na Rais Dk Magufuli

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages