Ofisi ya Makamu wa
Rais inakanusha taarifa inayosambazwa kwenye mitandao ya kijamii kwamba Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mama Samia Suluhu Hassan, ameomba
kujiuzulu nafasi yake na kwamba taarifa hiyo ni ya uzushi na uongo haina ukweli
wowote.
Sep 6, 2016
Home
Unlabelled
OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAKANUSHA TAARIFA ILIYOSAMBAZWA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII
OFISI YA MAKAMU WA RAIS YAKANUSHA TAARIFA ILIYOSAMBAZWA KWENYE MITANDAO YA KIJAMII
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
MAONI (COMMENTS)👇