Aliyekuwa Mkurugenzi wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Maimu (Pichani), leo amefikishwa katika Mahakama ya hakim Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam, akiwa na wafanyazi wengine wa Mamlaka hiyo.
January 2016, Rais Dk. Magufuli Magufuli alitengua uteuzi wa Mkurugenzi huyo na kumsimamisha kazi yeye na wafanyakazi wengine kadhaa kupisha uchunguzi wa namna NIDA ilivyotumia kiasi cha sh. bilioni 179.6, katika kazi ya upatikanaji wa vitambulisho vya taifa wakati huku kukiwa bado kuna malalamiko kwamba watu wengi walikuwa hawajapata vitambulisho hivyo.
Maimu (watatu kushoto) akiwa na wenzake katika Mahakama hiyo, baada ya kufikishwa leo
Your Ad Spot
Aug 17, 2016
Home
Unlabelled
ALIYEKUWA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA, ATINGA KIZIMBANI LEO, JIJINI DAR ES SALAAM
ALIYEKUWA MKURUGENZI WA MAMLAKA YA VITAMBULISHO VYA TAIFA, ATINGA KIZIMBANI LEO, JIJINI DAR ES SALAAM
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇