LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Jan 12, 2015

HALMASHAURI KUU YA CCM MKOA WA LINDI YAKUTANA


 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akiwasalimu Wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Lindi.
 Mbunge wa Jimbo la Mtama na Waziri wa Mambo ya Nje Mheshimiwa Bernard Membe akiwasalimu wajumbe waliohudhuria kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Lindi.
MNEC wa Wilaya ya Lindi mjini Mama Salma Kikwete akishauriana jambo na Mkuu wa Mkoa wa Lindi Mheshimiwa Mwantumu Mahiza wakati wa kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Lindi
Sehemu ya wajumbe waliohudhuria Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM mkoa wa Lindi.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages