LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

May 8, 2014

RAIS KIKWETE ATEUA KAMISHNA MPYA TRA

Rais Jakaya Kikwete amemteua Rished Bade kuwa Kamishna mpya wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kuchukua nafasi iliyoachwa wazi na Harry Kitilya aliyestaafu kazi akiwa katika nafasi hiyo, mwaka jana, Ikulu imesema leo

No comments:

Post a Comment

MAONI (COMMENTS)👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages