LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 9, 2014

IKULU YAKANUSHA HABARI ZA GAZETI LA MWANANCHI YA RAIS KIKWETE KUMTEMBELEA MFUNGWA WA EPA BWANA MARANDA MUHIMBILI


Rais Jakaya Mrisho Kikwete alipotembelea Taasisi ya Tiba ya Mifupa na Upasuaji wa Mishipa ya Fahamu (MOI) katika  Hospitali ya Taifa ya Muhimbili jana (Jumamosi) kuwajulia hali wanahabari wawili – Ndugu Salum Mkambala wa Channel Ten (juu) na chini Ndugu Margaret Chambili wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC).

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages