LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Mar 16, 2014

CCM YAONGOZA KATA 11 KATI YA 13 UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA KALENGA


Mashabiki wa CCM wakimbeba aliyekuwa mgombea wa CCM jimbo la Kalenga, Iringa Vijijini Godfrey Mgimwa, baada ya kupata matokeo ya awali ya CCM kuongoza kata 11 kati ya kata zote13 katika matokeo ya awali yasiyo rasmi ya  uchaguzi uliofanyika leo. Shamrashamra hizo zilifanyika Ofisi ya CCM mkoa wa Iringa
Mashabiki wa CCM wakimwayamwaya kwa furaha baada ya kupata matokeo hayo ya awali
©2014 CCM Blog

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages