KATIBU Mkuu mstaafu wa Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Martine Shigela (kushoto) akimkabidhi Katibu Mkuu mpya wa UVCCM, Sixtus Mapunda, faili wakati wa makabidhiano ya Ofisi, waliyofanya leo, Makao Makuu ya UVCCM, mjini Dar es Salaam. Wanaoshuhudia ni, Naibu Katibu Mkuu UVCCM (Bara), Mfaume Ally Kizigo na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Utekelezaji UVCCM Taifa, Seki Kasuga..
Sixtus Mapunda akipitia nyaraka kwenye faili alilokabidhiwa na Shigela wakati wa makabidhiano ya ofisi leo. Kushoto ni Kizigo
Makamu Mwenyekiti UVCCM, Taifa, Mboni Mhita (kushoto) akisalimiana na Shigela baada ya kuwasili kwenye mapokezi hayo.
Mboni Mhita akimsalimia pia, Mkumbe wa Kamati Kuu ya Utekelezaji UVCCM Taufa,Seki Kasuga wakati wa makabidhiano hayo. Imetayarishwa na BASHIR NKOROMO
Your Ad Spot
Sep 5, 2013
Home
Unlabelled
SHIGELA NA SIXTUS WAFANYA MAKABIDHIANO RASMI YA OFISI LEO
SHIGELA NA SIXTUS WAFANYA MAKABIDHIANO RASMI YA OFISI LEO
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Post Top Ad
Your Ad Spot
No comments:
Post a Comment
Tupia Comments👇