LATEST HEADLINES👉

Your Ad Spot

Apr 16, 2013

NAPE ATOA MAJIBU YA KERO ZA WANANCHI ULANGA

Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi,Nape Nnauye akizungumza na wananchi wa tarafa ya Mtimbira wilaya ya Ulanga mkoa wa Morogoro.


Nape Nnauye akiongea na wakazi wa kata ya  Karangakero,tarafa ya Mtimbira wilaya ya Ulanga.

Katibu wa CCM,Sixtus Mapunda akihutubia wananchi wa tarafa ya Mtimbira, kwenye viwanja vya shule ya msingi ya Mtimbira .

Katibu wa NEC,Itikadi na Uenezi ,Nape Nnauye akihutubia wakazi wa tarafa ya Mtimbira, wilaya ya Ulanga,tarehe 15 April 2013.

No comments:

Post a Comment

ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇

Post Top Ad

Your Ad Spot

Pages