Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kaburini wakati wa mazishi ya msanii Sajuki leo katika makaburi ya Kisutu jijini Dar es salaam |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Baba mzazi wa marehemu Sajuki
wakati wa mazishi ya msanii huyo leo katika makaburi ya Kisutu jijini
Dar es salaam.
|
No comments:
Post a Comment
ANDIKA MAONI (COMMENTS) HAPO👇